Mkurugenzi wa Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Bw. Firimin Msiangi, amewataka waajiriwa wapya kufanya kazi kwa weledi, uadilifu na kuzingatia taratibu, maadili pamoja na miongozo ya utumishi wa umma ili kutimiza majukumu yao kwa ufanisi.