Mkurugenzi, Ofisi ya Rais, Idara ya kumbukumbu na Nyaraka za Taifa. Bw. Firimin M. Msiangi kwa kushirikiana na Balozi Abdala A. Kilima, Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, walipokea ujumbe kutoka Mamlaka ya Kumbukumbu na Nyaraka kutoka Oman. Ujumbe huo ulitembelea Ofisi ya Idara kanda ya Mashariki Dar es Salaam, tarehe 13/7/2026