Mkurugenzi, Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, akikabidhiwa hati ya Utekelezaji wa Mashirikiano kati ya Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa na Mamlaka ya Taifa ya Nyaraka na Kumbukumbu ya Sultanate ya Oman, katikati ni Waziri wa Nchi, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani J. Kikwete...