Viongozi waliohudhuria Kongamano maalum la kumuenzi hayati Sheikh Abeid Amani Karume, tukio lenye heshima kubwa linalolenga kuenzi mchango wake wa kipekee katika kuijenga na kuiimarisha Tanzania. Hii ni fursa adhimu ya kujifunza, kukumbuka historia yetu na kuhamasika kuendeleza tunu za umoja, uzalendo na mshikamano wa kitaifa. Tarehe 6/4/2026