Mkurugenzi wa Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin M. Msiangi, akimkabidhi zawadi, Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray (kulia), alipotembelea banda la Idara, katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, Chinangali Park - Jijini Dodoma.