Mnakaribishwa kwenye Tovuti ya Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa. Kumbukumbu na... Soma zaidi
Watumishi wa Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa (Kanda ya Mashariki- Dar es Salaam) wakiwa katika picha ya pamoja katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi).
Watumishi wa Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, wakiwa katika maandamano ya kuelekea viwanja vya Jamhuri Jijini Dodoma, katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi).
Watumishi wa Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, wakiwa katika maandamano ya kuelekea viwanja vya Jamhuri Jijini Dodoma, katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi).
Baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, wakiwa tayari kuanza maandamano ya kuelekea viwanja vya Jamuhuri Jijini Dodoma katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani