Hayati, Baba wa Taifa, Mwl Julius K Nyerere, aliyekuwa Rais wa awamu ya kwanza, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akifurahia jambo na aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Ali Hassan Mwinyi na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Hayati Rashid Mfaume Kawawa kwenye Mkutano Mkuu wa Tatu wa CCM, Mwezi Oktob