Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin Msiangi, akitoa maelezo ya awali kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) kuhusu Kituo cha Kumbukumbu Kanda ya Ziwa kilichopo jijini Mwanza wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo iliyolenga kuhimiza u...