Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Juma Mkomi, amesisitiza umuhimu wa ufuatiliaji na tathmini katika kuongeza ufanisi, uwajibikaji na kuhakikisha mipango ya Serikali inatekelezwa kwa wakati na kwa kuzingatia viwango bora vya utendaji.