Mkurugenzi Mkuu Bw. Firimin M. Msiangi, akiwa na kundi la wataalamu wa Nyaraka na uhifadhi wa Kumbukumbu kutoka Algeria, walipotembelea Tanzania kujifunza historia, urithi wa utamaduni na mbinu za uhifadhi wa Kumbukumbu za kihistoria, Dar es Salaam, 2 Juni 2026 .