Mkurugenzi Mkuu, Bw. Firimin M. Msiangi akiwa na wageni, baada ya kuwasili Stesheni ya SGR ya Samia Suluhu Hassan Dodoma, wakitokea Dar es Salaam kwa ziara ya Makao Makuu Dodoma, pembeni ni Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Kumbukumbu, Bw. Gasper Kileo, na Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu, Bibi. Salama Mohammed.