Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina N. Qwaray, akisaini kitabu cha wageni, alipotembelea banda la maonesho la Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, katika maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea Chinangali Park, Jijini Dodoma, Juni 22, 2026.