Mkuu wa Kitengo cha Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini wa Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Edwin P. Katundu, akiwasilisha Utekelezaji wa Bajeti ya Idara kwa mwaka wa Fedha 2025/2026, na Mpango wa Bajeti kwa mwaka wa Fedha 2026/2027, katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi, tarehe 14 Juni, 2026, Hoteli ya Regency - Mkoani Si...