Mkurugenzi Mkuu, Bw. Firimin Msiangi, akimpongeza kwa kumpa zawadi aliyekuwa Msaidizi wake, Mwandishi Mwendesha Ofisi, Bibi Nivoneiya Mgonja, kwa mchango wake alioutoa kwa kuitumikia Idara, amempongeza kwa kufanya kazi zake kwa bidii, kujituma na weledi, katika hafla ya kuwaaga Wastaafu