Viongozi mbalimbali wa nchi wakiongozwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakiimba wimbo wa mshikamano (solidarity forever) pamoja na wafanyakazi (hawapo pichani) kuashiria umoja na mshikamano katika kuijenga nchi, wakati wa maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani, yaliyofanyika mkoani Singida May 1, 202...