Mkurugenzi,Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw Firimin Msiangi, akitia saini Hati ya Ushirikiano wa masuala ya Nyaraka, baina ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa na Serikali ya Algeria, Idara ya Nyaraka, Bw Chikh Abdelmadjid wakati wa Mkutano wa 5 wa Tume ya Kudumu, uliofanyika Algiers, Algeria tarehe...