Picha ya pamoja kati ya Mkurugenzi Mkuu, Bw. Firimin M. Msiangi (kushoto) akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Bi. Emily Kariuki (wa pili kushoto), Mkurugenzi wa Kuwaenzi Waasisi wa Taifa, Bw. Salum Kyando (wa pili kulia), pamoja na watumishi wengine, baada ya kikao cha pamoja cha wadau wa Kuwaenzi waasisi wa Taifa letu.