Mnakaribishwa kwenye Tovuti ya Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa. Kumbukumbu na... Soma zaidi
Baadhi ya watumishi wa PO-RAMD walioshiriki katika Mkutano Mkuu wa 13 wa TRAMPA uliofanyika kuanzia tarehe 25 - 29 Agosti, 2025 Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin M. Msiangi (katikati) akiwa na Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Kumbukumbu Bw. Gasper Kileo (kushoto) na Mkurugenzi wa Kumbukumbu za Mahakama ya Tanzania (kulia) wakisikiliza Mada kutoka kwa mshiriki katika Mkutano Mkuu wa TRAMPA wa 13, uliofanyika Dars es salaam kuanzia tar...
Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin M. Msiangi akiwasilisha Mada kwa washiriki kutoka katika Taasisi mbalimbali za Umma, waliohudhuria Mkutano Mkuu wa TRAMPA, tarehe 25 Agosti, 2025, Dar es Salaam.