Mkurugenzi Mkuu, Ofisi ya Rais-Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin Msiangi akifuatilia jambo wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa, maadhimisho haya yalifanyika jana katika uwanja wa Mashujaa Mji wa Serikali-Mtumba, jijini Dodoma.