Mnakaribishwa kwenye Tovuti ya Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa. Kumbukumbu na... Soma zaidi
Baadhi ya watumishi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa wakifanya usafi eneo la Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, 2022
Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin Msiangi akifanya usafi na watumishi wa idara yake katika Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, 2022.
Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin Msiangi akieleza nia ya idara yake kushiriki zoezi la kufanya usafi, eneo la Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma kama sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, 2022.