Viongozi na Wakuu wa Taasisi, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora wakifuatilia Hotuba ya Makadirio, Mapato na Matumizi ya Ofisi hiyo kwa mwaka wa fedha 2025/26, iliyokua ikisomwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mh. George Simbachawene (hayupo pichani) Aprili 23, 2025 Bungeni jijini Dodoma