Tanzania emblem

Ofisi ya Rais

Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa

Building photo

Matangazo

TAARIFA KWA UMMA FURSA ZA AJIRA KATIKA SHIRIKA LA MILIKI UBUNIFU DUNIANI (WIPO)


TAARIFA KWA UMMA

FURSA ZA AJIRA KATIKA SHIRIKA LA MILIKI UBUNIFU DUNIANI (WIPO)

Dar es Salaam - 11 Agosti, 2026

Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) inapenda kuwataarifu Watanzania kuwa Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (the World Intellectual Property Organization - WIPO) limetangaza nafasi ya kazi ifuatayo: -

Nafasi: 

Mtunza Kumbukumbu Msaidizi (Assistant Archives

Officer)

Kitengo:

Kumbukumbu na Nyaraka (Records and Archives

Section, Knowledge Management and General

Services Division)

Mahali pa Kazi:

Geneva, Uswisi (Geneva, Switzerland)

Mwisho wa Kutuma Maombi: 

26 Agosti 2026

 

Watanzania wenye sifa wanahimizwa kutuma maombi yao kabla ya tarehe ya mwisho kupitia mfumo wa ajira wa WIPO. Kwa maelezo zaidi kuhusu sifa za mwombaji, majukumu ya kazi na namna ya kutuma maombi, tembelea tovuti ya ajira ya WIPO:

https://wipo.taleo.net/careersection/wp_2/jobsearch.ftl?lang=en

Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Uhusiano kwa Umma