Tanzania emblem

Ofisi ya Rais

Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa

Building photo

Habari

Naibu Waziri,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius Ndejembi alipotembelea kituo cha Taifa cha Kumbukumbu


Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius Ndejembi akipata maelezo kutoka kwa Bw. Salum A. Kyando (Mkurugenzi wa Idara ya Kuwaenzi Waasisi wa Taifa) juu ya shughuli zinazotekelezwa na Ofisi ya Rais Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa,alipotembelea Kituo cha Taifa cha Kumbukumbu Dodoma.