Tanzania emblem

Ofisi ya Rais

Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa

Building photo

Ziara ya Kikazi ya Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Mwenyekiti wa Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Machano Saidi (hayupo pichani) kuongoza kikao kazi cha kamati yake na Watendaji na watumishi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa wakati wa ziara ya kikazi ya kamati hiyo kwenye Idara ya Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.