Ziara ya Kikazi ya Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar
Mwenyekiti wa Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Machano Saidi akiongoza kikao kazi cha kamati yake na Watendaji na watumishi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa (hawapo pichani) wakati wa ziara ya kikazi ya kamati hiyo kwenye Idara ya Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.