Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa akijibu maswali yaliyoulizwa kuhusu usiri wa majadiliano ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar wakati wa kongamano la kumuenzi
Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa akijibu maswali yaliyoulizwa kuhusu usiri wa majadiliano ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar wakati wa kongamano la kumuenzi Sheikh Abeid Amani Karume tarehe 06/04/2024 katika ukumbi wa Karimjee
